Jumanne, 2 Machi 2021

Ujasiriamali mdogo mdogo


Biashara ya mboga mboga
Hello Tanzania binadamu lazma aishi kwa kutegemea chakula hivi hi ni fursa nzuri ya kujiajiri bila kuwazia mtaji mkubwa sana,kwa kuanza na. Pesa kiasi Kama elfu 50 unaweza kuuza mboga mboga na matunda mtaani kwako au sokoni na kujipatia kipato ambacho kitajizi mahitaji yako na si kulalamika Kama Ajira hakuna we jiajiri mwenyewe.

Uuzaji wa samaki inalipa sana biashara hii.

Mafanikio mkononi mwako changamkia fursa mbari mbari za biashara katika jamii yako na maendeleo utayaona

Ujasiriamali mdogo mdogo

Biashara ya mboga mboga Hello Tanzania binadamu lazma aishi kwa kutegemea chakula hivi hi ni fursa nzuri ya kujiajiri bila kuwazia mtaji mku...